Good News kwa mashabiki wa Chelsea, huyu ndio staa waliomsajili January 30 (+Pichaz)
Klabu ya Chelsea ya Uingereza January 30 imeingia kwenye headlines za usajili wa beki wa kati, baada ya dalili za kumpata beki wa Everton John Stones kuwa ndogo, kwani wamewahi kuomba kumsajili kutokea klabu yake ya Everton kwa zaidi ya mara tatu licha ya kujitahidi kuongeza dau mara kadhaa.
 January 30 klabu ya soka ya Chelsea imetangaza kumsajili beki wa kati wa klabu ya New York Red Bulls ya Marekani Matt Miazga, beki huyo amesaini mkataba wa miaka minne na nusu wa kuitumikia klabu ya Chelsea, ambayo kwa dalili zinaonesha Chelsea inatafuta mrithi wa John Terry kwa miaka ya baadae.
 
Klabu ya Chelsea ya Uingereza January 30 imeingia kwenye headlines za usajili wa beki wa kati, baada ya dalili za kumpata beki wa Everton John Stones kuwa ndogo, kwani wamewahi kuomba kumsajili kutokea klabu yake ya Everton kwa zaidi ya mara tatu licha ya kujitahidi kuongeza dau mara kadhaa.
30B90D9500000578-3424165-image-a-8_1454164489353
January 30 klabu ya soka ya Chelsea imetangaza kumsajili beki wa kati wa klabu ya New York Red Bulls ya Marekani Matt Miazga, beki huyo amesaini mkataba wa miaka minne na nusu wa kuitumikia klabu ya Chelsea, ambayo kwa dalili zinaonesha Chelsea inatafuta mrithi wa John Terry kwa miaka ya baadae.
30B90DA900000578-3424165-image-a-3_1454164450995
Matt Miazga mwenye umri wa miaka 20, amesajiliwa kwa dau la pound milioni 3.5. Miazga anatokea New Jersey Marekani, lakini hakusita kueleza furaha yake “Nina furaha kujiunga na Chelsea, klabu ambayo ni maarufu duniani na ina mafanikio makubwa”

Reviews:

Post a Comment

PRINCE PRODUCT © 2014 - Designed by Templateism.com, Plugins By MyBloggerLab.com | Published By Gooyaabi Templates

Contact us

Powered by Blogger.