
Kenya imeshuka hatua 12 nayo Tanzania ikashuka hatua 5 kwenye orodha ya viwango vya ubora wa soka ya Fifa iliyotolewa leo.
Kenya kwa sasa wamo nambari 115 nao Tanzania nambari 130.
Harambee Stars wameshuka baada ya kushindwa mechi mbili za kufuzu kwa Kombe la Mataifa Bingwa Afrika na Guinea Bissau.
Taifa hilo la Afrika Magharibi limepanda hatua 45 hadi nambari 102.
Guinea
Bissau waliichapa Kenya 1-0 mechi ya kwanza tarehe 23 Machi na kwenye
mechi ya marudiano wakashinda tena 1-0 jijini Nairobi.

- CAF: Chad yajiondoa, Tanzania mashakani
Orodha ya mataifa kumi bora Afrika ni kama ifuatavyo:
- Algeria
- Ivory Coast
- Ghana
- Senegal
- Misri
- Cape Verde
- Tunisia
- Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo
- Guinea
- Congo
- Argentina
- Ubelgiji
- Chile
- Colombia
- Ujerumani
- Uhispania
- Brazil
- Ureno
- Uruguay
- England
Reviews:
Post a Comment